Danieli 2:23 BHN

23 Kwako, ee Mungu wa wazee wangu,natoa shukrani na kukusifu,maana umenipa hekima na nguvu,umetujulisha kile tulichokuomba,umetujulisha kile kisa cha mfalme.”

Kusoma sura kamili Danieli 2

Mtazamo Danieli 2:23 katika mazingira