25 Basi, Arioko akampeleka Danieli mbele ya mfalme kwa haraka na kumwambia, “Nimempata mtu fulani miongoni mwa mateka wa Yuda anayeweza kukufasiria ndoto yako, ee mfalme.”
Kusoma sura kamili Danieli 2
Mtazamo Danieli 2:25 katika mazingira