Danieli 2:49 BHN

49 Danieli akamwomba mfalme, naye mfalme akawaweka Shadraki, Meshaki na Abednego kuwa wasimamizi wa mambo ya utawala ya mkoa wa Babuloni. Lakini Danieli akabakia katika jumba la mfalme.

Kusoma sura kamili Danieli 2

Mtazamo Danieli 2:49 katika mazingira