Danieli 3:14 BHN

14 Mfalme Nebukadneza akawauliza, “Je, ni kweli kwamba wewe Shadraki, wewe Meshaki na wewe Abednego, hamuitumikii miungu yangu wala kuiabudu ile sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha?

Kusoma sura kamili Danieli 3

Mtazamo Danieli 3:14 katika mazingira