Danieli 3:22 BHN

22 Kwa vile amri ya mfalme ilikuwa kali, ule moto ulikuwa umewashwa ukawa mkali sana, hata ndimi za moto zikawateketeza wale watu waliowapeleka Shadraki, Meshaki na Abednego.

Kusoma sura kamili Danieli 3

Mtazamo Danieli 3:22 katika mazingira