Danieli 3:26 BHN

26 Basi, mfalme Nebukadneza akaukaribia mlango wa tanuri ya moto mkali, akaita, “Shadraki, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Mkuu, tokeni mje hapa!” Shadraki, Meshaki na Abednego wakatoka motoni.

Kusoma sura kamili Danieli 3

Mtazamo Danieli 3:26 katika mazingira