Danieli 5:2 BHN

2 Kutokana na kunywa divai, mfalme Belshaza akatoa amri vile vyombo vya dhahabu na fedha ambavyo mfalme Nebukadneza, baba yake, alivichukua kutoka hekalu la Yerusalemu, viletwe ili avitumie kunywea divai pamoja na maofisa wake, wake zake na masuria wake.

Kusoma sura kamili Danieli 5

Mtazamo Danieli 5:2 katika mazingira