Danieli 7:25 BHN

25 Huyo atamkufuru Mungu Mkuu na kuwatesa watakatifu wake. Atajaribu kubadilisha nyakati na sheria zao, na watakatifu watatiwa mikononi mwake kwa muda wa miaka mitatu na nusu.

Kusoma sura kamili Danieli 7

Mtazamo Danieli 7:25 katika mazingira