Danieli 9:13 BHN

13 Umetuadhibu kama ilivyoandikwa katika sheria ya Mose, lakini mpaka sasa, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, hatukuomba msamaha wako kwa kuziacha dhambi zetu na kutafakari uaminifu wako.

Kusoma sura kamili Danieli 9

Mtazamo Danieli 9:13 katika mazingira