Danieli 9:18 BHN

18 Tega sikio, ee Mungu wangu; angalia uone taabu tulizo nazo na jinsi unavyotaabika huo mji uitwao kwa jina lako. Tunakutolea maombi yetu si kwa sababu tumetenda haki, bali kwa sababu wewe una huruma nyingi.

Kusoma sura kamili Danieli 9

Mtazamo Danieli 9:18 katika mazingira