Danieli 9:4 BHN

4 Nilimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, na kuungama, nikisema:“Ee Bwana, wewe ni Mungu mkuu na wa kuogofya. Wewe ni mwaminifu kwa agano lako na unawafadhili wakupendao na kuzitii amri zako.

Kusoma sura kamili Danieli 9

Mtazamo Danieli 9:4 katika mazingira