2 Alimwambia Hagai aongee na mkuu wa Yuda, Zerubabeli mwana wa Shealtieli, kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki na watu wote waliorudi kutoka uhamishoni awaambie hivi:
Kusoma sura kamili Hagai 2
Mtazamo Hagai 2:2 katika mazingira