Malaki 1:13 BHN

13 Mnasema, ‘Mambo haya yametuchosha mno,’ na mnanidharau. Mnaniletea tambiko za wanyama mliowapata kwa unyang'anyi, au walio vilema au wagonjwa. Je, nipokee tambiko hizo mikononi mwenu? Mimi Mwenyezi-Mungu nauliza.

Kusoma sura kamili Malaki 1

Mtazamo Malaki 1:13 katika mazingira