Malaki 3:14 BHN

14 Nyinyi mmesema, ‘Kumtumikia Mungu hakuna faida. Kuna faida gani kuyatii maagizo ya Mwenyezi-Mungu wa majeshi, au kujaribu kumwonesha kuwa tumekosa mbele yake kwa kutembea kama watu wanaoomboleza?

Kusoma sura kamili Malaki 3

Mtazamo Malaki 3:14 katika mazingira