Malaki 3:15 BHN

15 Tuonavyo sisi, ni kwamba, wenye kiburi ndio wenye furaha daima. Watu waovu, licha ya kustawi, hata wanapomjaribu Mungu, hawapati adhabu.’”

Kusoma sura kamili Malaki 3

Mtazamo Malaki 3:15 katika mazingira