Malaki 3:16 BHN

16 Ndipo watu wanaomcha Mwenyezi-Mungu walipozungumza wao kwa wao, naye Mwenyezi-Mungu akasikia mazungumzo yao. Mbele yake kikawekwa kitabu ambamo iliandikwa kumbukumbu ya wale wanaomcha na kumheshimu.

Kusoma sura kamili Malaki 3

Mtazamo Malaki 3:16 katika mazingira