Malaki 3:3 BHN

3 Yeye atakuja kuhukumu kama mtu asafishaye na kutakasa fedha. Atawasafisha wazawa wa Lawi, kama mtu afuavyo dhahabu au fedha, mpaka wamtolee Mwenyezi-Mungu tambiko zinazokubalika.

Kusoma sura kamili Malaki 3

Mtazamo Malaki 3:3 katika mazingira