Malaki 3:2 BHN

2 Lakini ni nani atakayestahimili siku hiyo atakapokuja? Ni nani atakayesimama kustahimili atakapotokea? Yeye ni kama moto mkali usafishao chuma; ni kama sabuni ya dobi.

Kusoma sura kamili Malaki 3

Mtazamo Malaki 3:2 katika mazingira