42 “Sisi tulikukosea na kukuasinawe bado hujatusamehe.
43 “Umejizungushia hasira yako ukatufuatia,ukatuua bila huruma.
44 Umejizungushia wingu zito,sala yeyote isiweze kupenya humo.
45 Umetufanya kuwa takataka na uchafumiongoni mwa watu wa mataifa.
46 “Maadui zetu wote wanatuzomea.
47 Kitisho na hofu vimetuandama,tumepatwa na maafa na maangamizi.
48 Macho yangu yabubujika mito ya machozikwa sababu ya kuangamizwa kwa watu wangu.