Ruthu 1:21 BHN

21 Nilipoondoka hapa, nilikuwa na vitu vingi, lakini sasa Mwenyezi-Mungu amenirudisha mikono mitupu. Mbona mwaniita Naomi na hali Mwenyezi-Mungu ameniadhibu, naye Mungu Mwenye Nguvu amenitesa.”

Kusoma sura kamili Ruthu 1

Mtazamo Ruthu 1:21 katika mazingira