Ruthu 4:13 BHN

13 Kwa hiyo, Boazi akamchukua Ruthu akawa mke wake. Mwenyezi-Mungu alimjalia Ruthu naye akachukua mimba, akajifungua mtoto wa kiume.

Kusoma sura kamili Ruthu 4

Mtazamo Ruthu 4:13 katika mazingira