Yoeli 2:20 BHN

20 Nitawaondoa hao adui watokao kaskazini,nitawafukuza mpaka jangwani;askari wa mbele nitawatupa katika Bahari ya Chumvina wale wa nyuma katika Bahari ya Mediteranea.Watatoa uvundo na harufu mbaya,hao ambao wamefanya maovu makubwa.

Kusoma sura kamili Yoeli 2

Mtazamo Yoeli 2:20 katika mazingira