Yona 1:17 BHN

17 Kisha, Mwenyezi-Mungu akaamuru samaki mkubwa ammeze Yona, naye akawa tumboni mwa samaki huyo kwa muda wa siku tatu, usiku na mchana.

Kusoma sura kamili Yona 1

Mtazamo Yona 1:17 katika mazingira