Yoshua 10:27 BHN

27 Wakati jua lilipokuwa karibu kutua, Yoshua aliamuru waondolewe juu ya miti walipokuwa wameangikwa na kutupwa pangoni walimokuwa wamejificha. Kisha wakaweka mawe makubwa kwenye mlango wa pango, nayo mawe hayo yako huko mpaka leo.

Kusoma sura kamili Yoshua 10

Mtazamo Yoshua 10:27 katika mazingira