Yoshua 13:3 BHN

3 yaani eneo lijulikanalo kama la Wakanaani, kuanzia kijito cha Shihori mpakani mwa Misri hadi eneo la Ekroni huko kaskazini. Maeneo yote ya watawala watano wa Ufilisti: Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi na Ekroni pamoja na eneo la Avi,

Kusoma sura kamili Yoshua 13

Mtazamo Yoshua 13:3 katika mazingira