18 Katika siku yao ya harusi, Aksa alimwambia Othnieli amwombe Kalebu shamba. Aksa alikuwa amepanda punda, na alipokuwa anashuka chini, Kalebu akamwuliza, “Unataka nikupe nini?”
Kusoma sura kamili Yoshua 15
Mtazamo Yoshua 15:18 katika mazingira