Yoshua 15:18 BHN

18 Katika siku yao ya harusi, Aksa alimwambia Othnieli amwombe Kalebu shamba. Aksa alikuwa amepanda punda, na alipokuwa anashuka chini, Kalebu akamwuliza, “Unataka nikupe nini?”

Kusoma sura kamili Yoshua 15

Mtazamo Yoshua 15:18 katika mazingira