Yoshua 2:4 BHN

4 Lakini, yule mwanamke alikuwa amekwisha waficha watu hao wawili. Basi, akawaambia wajumbe hao, “Ni kweli kwamba hao watu walikuja kwangu, lakini mimi sikujua wametoka wapi.

Kusoma sura kamili Yoshua 2

Mtazamo Yoshua 2:4 katika mazingira