Yoshua 2:7 BHN

7 Basi, wale watu waliotumwa na mfalme wakawafuatia kwa kupitia njia iliyokuwa imeelekea kwenye vivuko vya Yordani. Na mara tu walipoondoka mjini, lango la mji likafungwa.

Kusoma sura kamili Yoshua 2

Mtazamo Yoshua 2:7 katika mazingira