Yoshua 24:2 BHN

2 Yoshua akawaambia watu wote, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi: Hapo zamani, wazee wenu waliishi ngambo ya mto Eufrate, wakaitumikia miungu mingine. Mzee mmoja alikuwa Tera, baba yao Abrahamu na Nahori.

Kusoma sura kamili Yoshua 24

Mtazamo Yoshua 24:2 katika mazingira