Yoshua 9:21 BHN

21 Waacheni waishi.” Hivyo Wagibeoni wakawa wanaitumikia jamii nzima ya Israeli, wakiwakatia kuni na kuwachotea maji, kama viongozi wa Waisraeli walivyosema.

Kusoma sura kamili Yoshua 9

Mtazamo Yoshua 9:21 katika mazingira