1 Kor. 10:20 SUV

20 Sivyo, lakini vitu vile wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si kwa Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mashetani.

Kusoma sura kamili 1 Kor. 10

Mtazamo 1 Kor. 10:20 katika mazingira