1 Kor. 12:28 SUV

28 Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, na masaidiano, na maongozi, na aina za lugha.

Kusoma sura kamili 1 Kor. 12

Mtazamo 1 Kor. 12:28 katika mazingira