2 Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.
Kusoma sura kamili 1 Kor. 13
Mtazamo 1 Kor. 13:2 katika mazingira