1 Kor. 3:10 SUV

10 Kwa kadiri ya neema ya Mungu niliyopewa, mimi, kama mkuu wa wajenzi mwenye hekima, naliuweka msingi, na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mtu na aangalie jinsi anavyojenga juu yake.

Kusoma sura kamili 1 Kor. 3

Mtazamo 1 Kor. 3:10 katika mazingira