1 Kor. 7:34 SUV

34 Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe.

Kusoma sura kamili 1 Kor. 7

Mtazamo 1 Kor. 7:34 katika mazingira