1 Kor. 7:36 SUV

36 Lakini mtu awaye yote akiona ya kuwa hamtendei mwanamwali wake vipendezavyo, na ikiwa huyo amepita uzuri wa ujana wake, na ikiwapo haja, basi, afanye apendavyo, hatendi dhambi, na awaruhusu waoane.

Kusoma sura kamili 1 Kor. 7

Mtazamo 1 Kor. 7:36 katika mazingira