1 Pet. 4:11 SUV

11 Mtu akisema, na aseme kama mausia ya Mungu; mtu akihudumu, na ahudumu kwa nguvu anazojaliwa na Mungu; ili Mungu atukuzwe katika mambo yote kwa Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye hata milele na milele. Amina.

Kusoma sura kamili 1 Pet. 4

Mtazamo 1 Pet. 4:11 katika mazingira