16 Lakini kwa ajili hii nalipata rehema, ili katika mimi wa kwanza, Yesu Kristo audhihirishe uvumilivu wake wote; niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini baadaye, wapate uzima wa milele.
Kusoma sura kamili 1 Tim. 1
Mtazamo 1 Tim. 1:16 katika mazingira