1 Yoh. 2:19 SUV

19 Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.

Kusoma sura kamili 1 Yoh. 2

Mtazamo 1 Yoh. 2:19 katika mazingira