2 Kor. 12:6 SUV

6 Maana kama ningetaka kujisifu singekuwa mpumbavu, kwa sababu nitasema kweli. Lakini najizuia, ili mtu asinihesabie zaidi ya hayo ayaonayo kwangu au kuyasikia kwangu.

Kusoma sura kamili 2 Kor. 12

Mtazamo 2 Kor. 12:6 katika mazingira