2 Kor. 7:9 SUV

9 Sasa nafurahi, si kwa sababu ya ninyi kuhuzunishwa, bali kwa sababu mlihuzunishwa, hata mkatubu. Maana mlihuzunishwa kwa jinsi ya Mungu, ili msipate hasara kwa tendo letu katika neno lo lote.

Kusoma sura kamili 2 Kor. 7

Mtazamo 2 Kor. 7:9 katika mazingira