Lk. 11:1 SUV

1 Ikawa alipokuwa mahali fulani akiomba, alipokwisha, mmoja katika wanafunzi wake alimwambia, Bwana, tufundishe sisi kusali, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.

Kusoma sura kamili Lk. 11

Mtazamo Lk. 11:1 katika mazingira