Lk. 7:39 SUV

39 Basi, yule Farisayo aliyemwalika alipoona vile, alisema moyoni mwake, Mtu huyu kama angekuwa nabii, angemtambua mwanamke huyu amgusaye, ni nani, naye ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi.

Kusoma sura kamili Lk. 7

Mtazamo Lk. 7:39 katika mazingira