Mdo 12:6 SUV

6 Hata wakati Herode alipotaka kumtoa, usiku ule ule Petro alikuwa analala katikati ya askari wawili, amefungwa minyororo miwili; walinzi mbele ya mlango wakailinda gereza.

Kusoma sura kamili Mdo 12

Mtazamo Mdo 12:6 katika mazingira