Mdo 20:16 SUV

16 Kwa sababu Paulo amekusudia kupita Efeso merikebuni, asije akakawia katika Asia; kwa maana alikuwa na haraka, akitaka kuwahi Yerusalemu siku ya Pentekoste, kama ikiwezekana.

Kusoma sura kamili Mdo 20

Mtazamo Mdo 20:16 katika mazingira