Mk. 1:45 SUV

45 Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini kwa wazi; bali alikuwako nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila mahali.

Kusoma sura kamili Mk. 1

Mtazamo Mk. 1:45 katika mazingira