Mk. 15:36 SUV

36 Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumtelemsha.

Kusoma sura kamili Mk. 15

Mtazamo Mk. 15:36 katika mazingira