1 Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika;Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu.
Kusoma sura kamili Ufu. 2
Mtazamo Ufu. 2:1 katika mazingira