Ufu. 2:14 SUV

14 Lakini ninayo maneno machache juu yako, kwa kuwa unao huko watu washikao mafundisho ya Balaamu, yeye aliyemfundisha Balaki atie ukwazo mbele ya Waisraeli, kwamba wavile vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na kuzini.

Kusoma sura kamili Ufu. 2

Mtazamo Ufu. 2:14 katika mazingira