18 Na wale watumwa na watumishi walikuwa wakisimama, wamefanya moto wa makaa; maana ilikuwa baridi; wakawa wakikota moto. Petro naye alikuwapo pamoja nao, anakota moto.
Kusoma sura kamili Yn. 18
Mtazamo Yn. 18:18 katika mazingira